"VIONGOZI WANAOMTETEA SHEIKH PONDA NI WANAFIKI WAKUBWA.....WAKATI ANAHUBIRI UCHOCHEZI MLIKUWA WAPI?"..WILLIAM MALECEL
 
Hii 
 ni  kauli  ya  mtoto  wa  kigogo   hapa  nchini  maarufu  kwa  jina  
la  William  Malecela  ambayo  ameitoa  kupitia  Jamiiforum
"Nimekuwa nikimfuatilia Sheikh Ponda kwa
 karibu sana toka wakati wa vurugu za MwembeChai, since then amegeuka 
kuwa a very mysterious creature almost becoming like John Gotti the once
 feared New York City's Mafian Don.
 "Baada ya kusoma kwa makini comments 
nyingi sana between the media na Social Media za Tanzania, za kutoka kwa
 wananchi mpaka Viongozi wengi wa Siasa wa Taifa toka ashambuliwe 
majuzi, ninauona unafiki mkubwa sana na wa hali ya juu sana, kweli kama 
hili Taifa we are not Taifa la Wanafiki, basi we are almost there to 
become one!. I mean who is Ponda? What does he stand for? Who pays for 
his bills and WHY?
"I will never support violence, lakini 
here we have a Muslim Leader preaching violence, every where he talks 
the man preaches violence sijasikia Kiongozi yoyote wa Taifa akijitokeza
 kumlaani Ponda na message zake!,...
"Leo the very Violence he preaches 
comes to haunt him, eti tuna Viongozi wa Taifa wanaodai Uchunguzi na 
maneno mengi ya Siasa ambayo wala hayahusu kabisa. 
"Wanatuambia nini sisi
 wananchi wengine wa kawaida kwamba ku-preach violence is ok but when 
that violence comes to haunt you then where is the government? Really? 
What government? Halafu eti kuna Viongozi wa Taifa hili wanaojaribu 
kujikomba komba na kuongea maneno ya kinafiki waonekane wapo sawa na 
hawa wanaomlilia? Please!!
"Amepigwa risasi 20 Biliionea Arusha 
majuzi mbona hajatokeza Kiongozi hata mmoja wa Siasa kumlilia na kutaka 
waliompiga wakamatwe haraka sana? 
"Amememwagiwa tindikali Mfanya 
biashara maarufu hapa mjini mbona hatujasikia hawa wanasiasa uchwara 
wakilia lia wakamatwe waliommwagia? 
"Wananchi wangapi wanapigwa Risasi 
kila siku nchini mbona hatujasikia hawa Viongozi wakilalamika kwamba 
wahusika wakamatwe? Stop this madness please....
"Viongozi wote wanaolilia 
na ishu ya Ponda ni wanafiki wakubwa na ni hatari sana kwa hili Taifa. 
And yes I said it, ni wanafiki wakubwa they all need to go!
" I mean what 
is so special about Ponda kwamba Serikali iache kazi zake za kawaida 
ianze kuwatafuta waliompiga Risasi? Vipi wananchi wengi walioumizwa na 
kupoteza maisha yao kutokana na mafundisho ya sumu za Ponda? 
"I mean it is about time now wale 
Viongozi wote wanaolialia  kuhusu waliomrushia risasi Ponda kujiuzulu 
kwa sababu wote ni infit kuongoza hili Taifa, na Viongozi wa juu wa 
Serikali acheni kujipendekeza na maneno maneno ya kujifanya kuwatuliza 
hawa wanao lia lia, na maneno ya tume! 
"Tume my left foot, Ponda ni 
mwananchi kama wengine wote so tatizo lake lichukuliwe kama mengine na 
Serikali should get tough na wajinga wajinga kama Ponda, nothing but a 
******** in the cover of religion!, 
"I mean wananchi Millioni 44 tunakaa 
tunasumbuliwa na mwanachi mmoja kila siku? how could that be? Enough! and yes I said it he is nothing but a coackroach in the cover of religion!!"
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
Le Mutuz
SOURCE:Jamiiforum
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment