Msimu mpya wa Fiesta 2013 umeshaanza na Kigoma ndiyo imepewa 
nafasi ya kufungua msimu huu. Hii ndiyo list ya wasanii ambao 
watakaopanda kwenye stage ya Fiesta 2013 Twenzetu ndani ya Kigoma. Listi
 ni ndefu, so jipangeni na team nzima ya Clouds itakuwa pande hizo. List
 inaenda kama hivi.
Godzilla
Young Killa
Ney Lee
Stamina
Shet a
Shilole
Weusi (Joh,Niki wa Pili, G nako)
Chege
Temba
Madee
Recho
Linex
Peter Msechu
Baba Levo
AY 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment