Friday, 2 August 2013

KCB BANK WAFUTURISHA JIJINI DAR‏


Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba (kulia), akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Bara (CCM) Philiph Mangula muda mfupi kabla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya KCB jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni mwenyekiti wa bodi ya KCB Benki Docta Edmund Mndolwa.

  

Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya KCB Moezz Mir akiteta jambo bna Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) muda mfupi kabla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya KCB jijini Dar es Salaam…

No comments:

Post a Comment