Duru ya pili ya uchaguzi Mali
 
Uchaguzi wa Mali ambao umekuja kufuatia mapinduzi ya 
kijeshi pamoja na waasi kuteka sehemu ya Kaskazini mwa nchi, utakuwa na 
duru ya pili, kwa mujibu wa tangazo la serikali.
                     
Hakuna mgombea aliyepata zaidi ya silimia hamsini ya kura zilizopigwa kudai ushindi.
                     
Waziri mkuu wa zamani, Ibrahim Boubacar Keita na
 aliyekuwa waziri wa fedha, Soumaila Cisse watatoana kijasho katika duru
 ya pili ya uchaguzi itakayofanyika tarehe 11 Agosti.
                     Uchaguzi unanuia kurejesha demokrasia baada ya zaidi ya mwaka mmoja ya mgogoro wa kisiasa
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment