DIVA LOVENESS" MTU AKISEMA MIMI RAFIKI AKE ANAJIDANGANYA, MIE HUWA NACHORA TU WATU"
 
 
Maneno ya Diva aliyoandika haya hapa:
"Just Saying… maana hawa hawa 
wanaozunguka wenzao na kujifanya wanajali ndio wanafiki na wambea 
hatari. nashukuru Mungu sinaga rafiki hata wakumpa siri zangu maana …… 
na kiukweli mtu akisema mie rafiki yake anajidanganya. mie huwa nachora 
tu watu hata sometimes nikiwa naongea nao, very selective. na Mpaka 
dakika hii miaka 4 sasa sinaga so called rafiki kibongobongo. no new 
friends. i ‘m always into My highschool buddies yaani. so know your 
Options and make the right choice"
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment