Wednesday 17 July 2013

Ngoma Africa band na Ushindi wa International Diaspora Award 2012





Juhudi za harakati za bendi ya Ngoma Africa zimevuna matunda makubwa licha ya kuwanasa mamilioni
Ya washabiki wa kimataifa bendi hiyo imeweza kuchagulia kuwa bendi bendi bora katika maonyesho mengi ya kimataifa yakiwemo maonyesho ya “Expo 2000 Hannover” Germany na “Pacific World Music Festival 2000,Honolulu,Hawai.

Mwaka huu 2012 Kiongozi wa bendi hiyo Kamanda Ras Makunja alitunikiwa tuzo ya kimataifa ya (IDA) International Diaspora Award,kwa niaba ya bendi yake mjini Tubingen,Germany.
Ngoma Africa band inatajwa kuwa ndio bendi ya kwanza ya kigeni barani ulaya kupewa tuzo hiyo ya kimataifa ,kutokana juhudi za bendi hiyo za kuutangaza muziki na utamaduni kiafrika.
Kutokana na taarifa za tahasisi ya Africa-activ Organizatation yenye makao yake Reutlingen, Ujerumani zinailezea bendi hiyo kuwa ni urimbo mkali unaowanasa mamilioni ya washabiki mara moja na mamilioni ya  washabiki wapo taabani kwa mapenzi na mzimu huo wa muziki Ngoma Africa band. Siri iliyiomo ndani ya bendi hakuna anayejua !! Labda mwenyewe Ras Makunja.

Wataalamu  mbali mbali wa sosholojia na  sekolojia ya maswala ya kijamii wanaizungumzia bendi ya Ngoma Africa kuwa ni jinamizi lenye nguvu kubwa za ajabu,jinamizi ambalo limetumia muziki wake kuwateka washabiki barani
Ulaya ! haijulikani nini siri ya mvuto huo ! Jinamizi hili la “Bongo Dansi” ! pia limewapa wakati mgumu bendi nyingi sana zinazo shea majukwaa katika maonyesho ya kimataifa.

Ngoma Africa band ukipenda waiite FFU ni bendi inayomilikiwa na washabiki na wapenzi wa bendi hiyo ambao wapo kila kona duniani,na mafanikio haya ni mafanikio ya kujivunia watanzania.

Ngoma Africa Band imeweza kuutawanya muziki wake katika vituo mbali mbali vya redio vya kitaifa na kimatai

No comments:

Post a Comment