Monday 27 July 2015

Upepo umegeuka, Marafiki wa Lowassa wapinga swahiba wao kwenda CHADEMA, Apson Matatani


kambi ya Lowasa kwa sasa tumbo joto kutokana na mgawanyiko mkubwa uliojitokeza. Kambii hiyo imegawanyika na kuzaa timu mbili. Timu ya kwanza inaundwa na wastaafu akiwemo Apson Mwang'onda na viongozi wa CCM wa Mikoa na wilaya. Wengi wa wanaounda kundi hili ni wachovu kifedha na wanaishi kwa kutegemea Marafiki wa Lowasa.

Timu ya Pili inaundwa na Marafiki wa Lowassa ambao ndio wenye fedha. Taarifa za uhakika kutoka kambi hiyo zinasema kuwa Marafiki wa Lowasa wakiongozwa na Rostam Aziz pamoja na Mke wa Lowasa Regina Lowasa hawataki rafiki yao aende upinzani. Hoja wanazotoa ni pamoja na hizi zifuatazo;

1. Marafiki wa Lowassa wanasisitiza kuwa Apson Mwang'onda ni mpotoshaji. Kwamba, ni Apson ndiye aliyetoa ushauri mbaya kwa Lowassa mpaka akapoteza muelekeo ndani ya CCM hali iliyosababisha jina lake kukatwa katika hatua za awali. Kwamba, Apson alikuwa anawahakikishia kuwa hakuna mwenye jeuri ya kukata jina la Lowassa na kwamba wakithubutu kufanya hivyo hapatakalika. Hata hivyo, kilichotokea ni kinyume chake.

2. Vyama vya upinzani havina dhamira ya dhati kwa Lowasa. Wao wanachokihitaji ni fedha zake na mashabiki wake ili waongeze idadi ya viti vya wabunge na kura za Rais. Kwamba, siku zote vyama hivyo vilikuwa vinamtukana
Lowassa na kumtolea kila aina ya maneno machafu. Sasa wanashangaa vyama hivyo hususan CHADEMA wanamuona Lowassa kama malaika.

3. Marafiki wa Lowasa wametumia fedha nyingi wakati wa mchakato ndani ya CCM. Lowasa aliwahakikishia kuwa atabaki ndani ya chama na kwamba hata asipoteuliwa kupeperusha bendera hatahama chama na badala yake atatafuta haki ndani ya chama hicho. Hata hivyo, wanashangaa kuona rafiki yao akiendelea kukaa kimya badala ya kuchukua hatua ndani ya chama kama alivyoahidi. Kwamba, tangu jina lake likatwe, hajachukua hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kupeleka malalamiko kwenye vyombo husika. Kutokana na hali hiyo marafiki hao wanaona kuwa uamuzi uliochukuliwa na chama ulikuwa ni sahihi isipokuwa rafiki yao alikuwa na agenda ya siri kwa kushirikiana na Apson Mwang'onda.

4. Wafuasi wengi waliokuwa upande wa
Lowassa wameridhika uteuzi uliofanywa na CCM ambapo wamemteua John Magufuli kuwa Mgombea Urais. Wanasema kuwa wao walichokuwa wanahitaji ni CCM kumteua mtu mwenye maamuzi na mwajibikaji. Magufuli ana sifa zote walizohitaji. Hivyo wanasema kuwa Lowasa asijidanganye kuwa wafuasi wake watamfuata upinzani.

Kutokana na hoja hizo, marafiki wa
Lowassa wamesema kuwa hawapo tayari kuendelea kupoteza fedha kumgharamia mtu ambaye hana msimamo. Hata hivyo, wanasema kuwa wapo tayari kumsaidia Lowasa kwa namna atakayotaka ikiwa atafanya maamuzi ya kuachana na siasa.

Kundi la Apson Mwang'onda kwa upande wake linasisitiza kuwa ni lazima
Lowassa aende upinzani ambako ameahidiwa kupata nafasi ya kuwa mgombea Urais. Kwamba, hata kama Lowasa hatachaguliwa kuwa Rais, atakuwa amewatuliza wafuasi wake ambao wamepoteza muda na fedha nyingi kumfikisha hapa alipo.

Mvutano huo umemuacha
Lowassa njia panda. Afuate ushauri wa marafiki zake ambao wamemsaidia kwa kila hali na kwamba wameahidi kumsaidia katika maisha yake nje ya siasa au kuendelea kushikamana na Apson ambaye siku zote amekuwa akimponza kutokana na ushauri wake.

Kutokana na hali hiyo,
Lowassa ameshindwa kukamilisha deal lake na CHADEMA kama alivyopanga na badala yake anaendelea kuwapiga danadana huku akiwaacha tumbo joto.

Ni dhahiri sasa kuwa Lowasa atafuata ushauri wa marafiki zake kuliko ushauri wa Apson. Katika hili, mchango wa Rostam unaonekana dhahiri na anaonekana kuwa ndiye rafiki wa dhati wa The White Hair. Wengine walikuwa kimaslahi zaidi.

Tuesday 14 July 2015

Netanyahu says Iran nuclear deal 'a bad mistake of historic proportions'


"Iran will get a jackpot, a cash bonanza of hundreds of billions of dollars, which will enable it to continue to pursue its aggression and terror in the region and in the world," the premier said.

The Iran nuclear accord hammered out in Vienna between the world powers and Tehran is a “historic mistake” for the world, Prime Minister Benjamin Netanyahu said Tuesday.

Netanyahu's comments came at the start of a meeting with visiting Dutch Foreign Minister Bert Koenders.

Netanyahu, who said that he would relate to the details of the accord at a latter time, said that it is the result of wanting to reach an agreement “at any price.”

The prime minister said that the powers negotiating with Iran – the US, Russia, China, France, Britain and Germany – made far reaching concessions on the areas meant to prevent Iran from ever being able to obtain nuclear arms.

In addition, he said, Iran will receive “hundreds of billions of dollars” with which it will be able to fuel its terrorist activities and aggression in the region and around the world.

“It is impossible to prevent an agreement when the negotiators are willing to make more and more concessions to those who chant ‘Death to America’ even during the negotiations,” he said.

Netanyahu said that because the government knew that the desire to reach an agreement was greater than anything else, it never committed itself to prevent the accord. “We did commit ourselves to preventing Iran from arming with nuclear weapons, and in my eyes that commitment still stands,” he said.

The prime minister, coming under withering criticism from the opposition for what is being termed a colossal failure on his part to stop the agreement, called for Israel's political leaders to put party politics aside and unite around a most fateful issue for Israel's future and security

Hisia kutoka Marekani na Iran

Rais wa Marekani Barrack Obama amesifu makubaliano baina ya Mataifa sita makubwa yenye nguvu duniani na Iran kuhusiana na mradi wake wa kinyuklia.
Rais Obama amesema kuwa hii ndiyo nafasi ya pekee na ya hakika itakayoizuia Iran isitengeze silaha za kinyuklia.
Obama ameonya kuwa atazima jaribio lolote la bunge la Congress la Marekani kupinga kupitisha makubaliano hayo kuwa sheria.
''Nataka kutoa onyo kwa bunge la Congress la Marekani, Nitatumia kura ya turufu kuzima jaribio lolote la kuzima kutekelezwa kwa mapatano hayo ya kihistoria.''alisema Obama.
Katika hotuba ya moja kwa moja kwenye televisheni, Rais Obama amekaribisha makubaliano hayo akisema kwamba jumuiya ya kimataifa sasa itaweza kuhakikisha kuwa Iran haiwezi kutengeneza silaha hizo za nyuklia.
Amesema vikwazo vitaondolewa taratibu na Iran ni lazima itimize baadhi ya hatua na masharti kabla ya vikwazo vyote kuondolewa.

Kwa upande wake Rais Rouhani amesema kuwa wamefurahi kuwa hatimaye vikwazo vyote vitaondolewa na fedha za Iran zilizofungiwa ng'ambo zitafunguliwa.
katika hotuba ndefu rais Rouhani amesema kuwa hawakuwa wanaomba washirikika wao kuwaondolea vikwazo bali walishirikiana.
'' hatukutaka kupewa msaada tuliwataka wenzetu tuwasiliane kwa heshma haki na usawa''

''Tulikuwa tunatafuta vitu vinne vikuu katika mawasiliano yetu na washirika wa kimataifa nayo ni
1,utafiti wa kinyuklia uendelee,
2,kuondolewa kwa vikwazo vya kiuchumi
3,kuondolewa vipengee tuliyodhania kuwa ni ukiukwaji wa haki zetu katika umoja wa mataifa.

4, Sera kali za baraza la usalama la umoja wa mataifa dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran kufutiliwa mbali
''Kwetu tumepata kila kitu tulichokuwa tumepangia na hivyo naona kuwa tumefaulu'' alisema rais huyo katika taarifa iliyopeperushwa katika runinga ya taifa.
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Javad Zarif, ameuambia mkutano huo kwamba majadiliano hayo ya muda mrefu yamaefanikisha kukabiliana na vikwazo vyote vigumu vya miaka kumi iliyopita.
Amesisitiza kwamba Iran haijakuwa ikijaribu kuunda silaha za nyuklia

 
Bwana Zarif amesema yaliyomo kwenye makubaliano hayo ni magumu mno, lakini hayakuwa makubaliano tu bali ni njia ya kuelekea kutatua uhasama wa muongo uliopita.
Vikwazo vya kiuchumi ikiwemo mabilioni ya fedha mali ya Iran iliyokuwa imefungiwa katika mabenki ya nje ya nchi inatarajiwa kuachiliwa katika siku za hivi karibuni.
Vikwazo hivyo vilivyozuia Iran kuuza mafuta na gesi yake katika soko la kimatifa vilevile ilizuia usafiri wa ndege na meli taifa hilo kuingiza bidhaa ambazo sio muhimu.
Awali Katika mkutano wa waandishi habari huko Vienna mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini alisema makubaliano hayo yanadhihirisha uwajibikaji wa pamoja kwa amani na kuifanya dunia kuwa salama.
Bi Mogherini Alisema mapatano hayo yamechangia kufikia masharti na malengo ya jamii ya kimataifa ya kuunda uhusiano.
Rais wa Iran kwa upande wake amesema kuwa ''mapatano hayo yamezuia taharuki ilikuwa bila sababu dhabiti''

Monday 13 July 2015

Rwanda Hosts International Festival,


Preparations for the first ever Ubumuntu Arts Festival are underway. The first of its kind in Rwanda, the Ubumuntu Arts Festival is an art-centric festival inspired by and created for the sake of humanity.

The festival slogan is, "I am because you are, you are." Art is a powerful form of communicating, sharing, expressing opinions, airing issues, emotions and values about all aspects of life that affect humanity. However, in many parts of the world, either by omission or commission, art has not been given the importance it deserves both at policy, educational, and practice levels.

For instance, in Africa and indeed Rwanda, art is often seen as an extracurricular activity as a way to pass time, as mere entertainment and not as an avenue to share, open up and have civic dialogue.

Art played a crucial role in tackling Rwanda's immense post genocide challenges. From genocide perpetrators giving truthful testimonies, to victims forgiving perpetrators, art was and can still be part of a solution to issues confronting Rwanda, the same issues confronting all of humanity. The Ubumuntu Arts Festival will therefore, act as a bridge over nations and provide an avenue, where people from different countries can come together to learn from each other and be empowered to spearhead the healing process in their countries.

It will be an annual festival that will take place in the last week of the 100 day Genocide memorial. The festival will be held at the outdoor amphitheater of the Kigali Genocide Memorial Centre. Festival activities will include but not be limited to: performances, workshops, panel discussions and genocide memorial site visits.

The festival's objectives:

To prevent genocide.
To promote peace building and healing from violence.
To provide cutting edge training and mentorship to artists.
To provide space for artists to network, grow, share and create.
To equip the festival attendees with tools to enable them to be agents of change
To provide a one stop centre for art professionals in terms of resources and creative industry information.

Date & Venue

Amphitheatre Kigali Memorial
11th -- 12th July 2015

Participating Countries

Rwanda
Burundi
Uganda
Kenya
Tanzania
USA
Sri Lanka
Canada
Serbia
Lebanon
Egypt
Ethiopia
Zimbabwe

Source:KT Press

Rais Kikwete na Mkapa wakishangilia na kufurahi baada ya kuzima maasi ndani ya CCM!


Rais Kikwete na Mzee Benjamin Mkapa hawakujizuia kuonyesha furaha zao baada ya kuyakata majina ya baadhi ya wagombea na kuzima maasi ya baadhi ya wagombea na wafuasi wao ndani ya NEC na Mkutano Mkuu.

Hii ilitokea baada ya kumaliza kikao cha Mkutano Mkuu ambao ulimteua John Pombe Magufuli kuwa mgombea Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya CCM na Samia Hassan Suluhu kuwa Mgombea Mwenza.

Baada ya kutoka nje ya ukumbi wa mikutano huku wakiongozana, Rais Kikwete alisikika akipaza sauti na kusema ‘mission accomplished’ akimaanisha mikakati yao timilifu imezaa matunda waliyotarajia.

Walichokifanya hawa Wazee wa CCM ni kile kinasemwa, demokrasia isiyo na mipaka ni vurugu kwa maana kwamba waliwapa wajumbe wa NEC na Mkutano Mkuu demokrasia lakini wakawapa mtu wao wanayetaka wamchague.

Aliyekuwa anapiga kelele barabarani akidai hakatwi mtu alijikuta akiwa yeye ndiyo wa kwanza kukatwa.

Ama kweli, CCM ina wenyewe!

Picha za Mauji ya Polisi na Raia yaliyofanywa na Majambazi Usiku wa Kuamkia leo kituo cha polisi Ukonga

Kituo cha polisi Staki Shari Ukonga kimevamia na majambazi sasa hivi.

Kuna askari na waliouawa.

Sugu alipohudhuria sherehe ya kimila ya Wasafwa


  • ILIHUSISHA MKUSANYIKO WA MACHIFU WOTE WA KABILA HILO
  • PICHANI CHIFU MKUU MWANSHINGA AKIMSIKILIZA MBUNGE