Showing posts with label SPORT. Show all posts
Showing posts with label SPORT. Show all posts

Sunday, 12 July 2015

Van Persie atua Uturuki



Mashabiki wa manchester United wengi walijua kuwa Van Persie anaondoka kuelekea Fenabashe lakini kwa mtoto mdogo mwingereza wa miaka minne Louis Diamond hakufahamu kuwa kipenzi chake Robin Van Persie anaondoka mpaka pale alipoambiwa na wazazi wake kwamba mpachika magoli Robin alikuwa tayari kuelekea uturuki. Hivi sasa waturuki wameanzisha kampeni ya kuchangishana pesa ili mtoto huyo ambaye video yake imesambaa mitandaoni na kutizamwa na watu wengi aletwe Uturuki kumshuhudia mchezaji huyo.
Shabiki huyo mdogo wa miaka minne alipoambiwa na wazazi wake kuwa Van Persie alirekodiwa na baba yake akilia sana na video yake imesambaa mitandaoni duniani kote.
"hatujamwambia kama video yake imesambaa duniani, tumemwambia tu kuwa tumewaonyesha marafiki zake tu hapa mtaani tu hajui kama ni dunia nzima, mimi na mke wangu tuna hamu ya kumwona atakavyocheka tukimwonyesha video hii miaka kumi baadaye" Alisema baba wa mtoto huyo.
Kuna uwezekano pesa iliyopangwa kuchangwa mashabiki wa uturuki ikazidi kiwango cha pauni 1200 za uingereza kilichokusudiwa kumsafirisha mtoto huyo na baba yake ili kuja kushuhudia mechi ya kwanza ya Van Persie nchini uturuki.
Ni vema pia mtoto akapozwa kwa kuambiwa kuwa kinakuja chuma kipya kutoka southampton, Morgan Shineidelini ambaye atafanya vipimo Man U.
Kwa upande mwingine Liverpool inachukua kitita cha pauni milioni 49 kumuuza Raheem Sterlin kuelekea Man City na kumfanya kijana huyo mdogo wa miaka 20 kuwa mchezaji wa ghali zaidi katika england.

Saturday, 11 July 2015

Man United kumsajili Matteo Darmian


Kocha wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amethibitisha kuwa beki wa kilabu ya Torino Matteo Darmian atafanyiwa ukaguzi wa matibabu kabla ya kuhamia kilabu hiyo kwa pauni milioni 12.9.
Mshambuliaji wa Manchester united Robin Van Persie tayari anaendelea na mazungumzo na kilabu ya Fenerbahce na Van Gaal anasema:Iwapo tutahisi anaendelea vyema tutasema,lakini kufikia sasa hatuna hisia hiyo.
Kuhusu uhamisho,aliongezea:''Nilisema mwishoni mwa msimu uliopita kwamba ununuzi wa wachezaji na uuzaji ni hatua.Hatua hiyo huendelea hadi mwezi Septemba.''Naona kama uhamisho huo unachukua mda mrefu.Nimesema hivyo mara nyingi.hatahivyo tunaendelea vyema''.

Sunday, 29 March 2015

Arsenal kumnunua Wanyama na Mitrovic

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic kulingana na gazeti la the Sun nchini Uingereza.

Wenger amejiandaa kutoa kitita cha pauni millioni 30 kwa wachezaji hao wawili,huku Wanyama akigharimu kitita cha pauni millioni 20 naye mshambuliaji huyo wa Anderlecht Mitrovic akigharimu pauni millioni 10.

Inaaminika kuwa Wanyama ataondoka katika kilabu ya Southampton iwapo atachukuliwa na kilabu kikubwa huku naye Mitrovic akiwa amekuwa akifuatiliwa na waajiri wa Arsenal katika kipindi cha wiki chache zilizopotea.

Mitrovic amekuwa akifananishwa na Didier Drogba kutokana na mchezo wake.

Credits:BBC

Thursday, 8 August 2013

Wachezaji wa Ujerumani walitumia dawa za kuongeza nguvu

 ARCHIV - ILLIUSTRATION - Das Symbolfoto zeigt eine Spritze vor dem Wort Doping, aufgenommen am 25.07.2007. Die grün-rote baden-württembergische Landesregierung will den Druck auf Dopingsünder erhöhen. Dazu stellt Justizminister Stickelberger (SPD) am 13.11.2012 entsprechende Eckpunkte vor, die die strafrechtliche Bekämpfung von Doping verbessern sollen. Im Kampf gegen unerlaubte leistungssteigernde Mittel ist Baden-Württemberg nach Bayern das zweite Bundesland, das eine Schwerpunktstaatsanwaltschaft zur Verfolgung von Dopingdelikten eingerichtet hat. Foto: Patrick Seeger/dpa (Zu lsw Vorausmeldung: «Land will Druck auf Dopingsünder erhöhen» vom 13.11.2012) +++(c) dpa - Bildfunk+++
Ripoti ya uchunguzi kwamba iliyokuwa Ujerumani ya Magharibi iliendesha mipango ya matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku michezoni katika miaka ya 1970, ikiungwa mkono na serikali, imechapishwa
Mradi uliofadhiliwa na serikali wa dawa za kuongeza nguvu mwilini pia ulitumiwa katika iliyokuwa Ujerumani ya Mashariki, lakini ripoti ya utafiti uliofanywa na jopo kutoka chuo kimoja kikuu mjini Berlin pia imesema kiwango cha matumizi ya dawa hizo kilikuwa cha kutisha katika iliyokuwa Ujerumani ya Mashariki.
Kwa kuzingatia mahojiano yaliyofanywa na zaidi ya mashahidi 50, timu kutoka chuo kikuu cha Humboldt kilitumia miaka mitatu kufanya utafiti wa ripoti yenye kurasa 800 uliopewa kichwa “matumizi ya dawa za kuongeza nguvu mwilini nchini Ujerumani kuanzia mwaka wa 1950 hadi leo”.
Ripoti hiyo inadai kuwa baadhi ya wanasiasaw wakati huo walijua kuhusu mpango huo na kuna shahidi mmoja aliyesema kuwa waziri mmoja wa mambo ya ndani ambaye hajatajwa jina lake alisema kuwa “wanariadha wao wa iliyokuwa Ujerumani ya magharibi walistahili kuwa na mazingira sawa ya kabla ya ushindani na wenzao wa mashariki.”
Huyu hapa waziri wa zamani wa mambo ya ndani Gerhard Groß anasema "Kile ambacho kimesababisha nchi nyingine kupata mafanikio katika mazoezi na mashindano ya kimataifa, kimewanyima wachezaji wetu fursa".
Ripoti hiyo haijachapishwa, lakini sehemu ya utafiti huo kuanzia mwaka wa 2012, imechapishwa na gazeti moja la Ujerumani suddeutsche zeitung ambalo lilifichua Jumamosi kuwa matumizi ya dawa hizo yalifanywa katika vitengo mbalimbali ikiwa ni pamoja na riadha na kabumbu.
Waziri wa mambo ya ndani wa Ujerumani Christoph Bergner anasema matokeo ya mwisho yanastahili kupitiwa kabla ya kuchapishwa. Anasema "wizara ya mambo ya ndani ya Ujerumani haijapinga kufanya uchunguzi kuhusu suala hilo. Tumekuwa tukiunga mkono taasisi ya michezo na sayansi kwamba mahitaji ya kuzuia utoaji wa data lazima ulindwe.
Mwandishi: Bruce Amani/AFP/DPA
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman
source;DW.DE

Tuesday, 6 August 2013

Bale reports for Spurs trainin

Tottenham Hotspur winger Gareth Bale reported for training on Tuesday, amid continued speculation about his future at the club.

The 24-year-old Wales international is the subject of interest from Real Madrid and there were reports in the Spanish media that he would skip training in a bid to force through a move to the Bernabeu.

However, he was driven into Spurs' training complex in Enfield, north London at around 10:30 local time (0900GMT) on Tuesday.

Bale missed Spurs' 5-2 friendly loss to Monaco at the weekend due to a foot problem and has not played for the club since a 1-1 draw against Swindon Town on July 16.

He was unable to take part in the pre-season tour of Hong Kong because of a buttock injury.

Madrid manager Carlo Ancelotti said last week that his club were in talks with Tottenham over Bale's transfer, but Spurs manager Andre Villas-Boas says the former Southampton player is not for sale.

Bale scored 26 goals for Spurs last season and was voted the Professional Football Association (PFA) Player of the Year, the PFA Young Player of the Year and the Football Writers' Association (FWA) Footballer of the Year.

source:AFP

 

Saturday, 3 August 2013

Bale bids Spurs teammates goodbye as Real deal looms

Tottenham take on Monaco on Saturday without Gareth Bale, who misses the pre-season friendly in the Principality through injury ahead of a likely defining week for his forecast world record transfer to Real Madrid.

The Wales superstar bid "an emotional farewell" to his teammates in London on Friday, autographing their shirts before they left for Monte Carlo, according to a report in The Sun.

The Spurs forward sits out Saturday evening's match, and may also miss Wales' friendly against Ireland in Cardiff on August 14, with a minor hamstring problem.

As Bale works on his fitness Tottenham chairman Daniel Levy will sit down for his first face-to-face talks with his Real Madrid counterpart Florentino Perez in Miami next week, possibly on Wednesday, The Times suggested.

Real are in Florida where Levy has a holiday home for a pre-season warm-up.

They are keen to see Bale at the Bernabeu ahead of their opening league game against Real Betis on August 18.

The 24-year-old is set to become the most expensive player of all time, an honour currently held by Cristiano Ronaldo who moved from Manchester United to Real for 94 million euros ($125 million, £82 million) in 2009.

Levy is reportedly holding out for a transfer fee in excess of £105 million while Real are looking to strike a deal at around £85 million with a makeweight, possibly Fabio Coentrao, thrown in.

On Friday, Arsenal manager Arsene Wenger claimed Bale's proposed mega transfer made a mockery of UEFA's Financial Fair Play rules.

It makes a joke of it. It's quite amazing that in the year where the Financial Fair Play comes in, the football world has gone completely crazy," the Frenchman said.

"You wonder what kind of impact and effect it has on the football world. It looks like it has made everybody worse than before."

SOURCE:AFP

Monday, 29 July 2013

SABABU ZA YANGA KUGOMEA KUONYESHWA MECHI ZAKE ZA LIGI KUU MSIMU UJAO NA AZAM TV NI HIZ HAPA
















Uongozi wa klabu ya Yanga leo umefanya mkutano na waandishi wa habari juu ya urushwaji wa michezo yake ya Ligi Kuu katika kituo cha luninga cha Azam ambacho kimeingia makubaliano na kamati ya Ligi Kuu  kuonyeshwa michezo yote ya ligi kwa kipindi cha miaka miatatu (3).
Akiongea na waandishi wa habari mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuf Manji amesema uamuzi wa kamati ya ligi kuingia mkataba na kituo cha Azam Tv bila ya kuwashirikisha wahusika wenyewe ambao ni vilabu vishiriki haukuwa sawa.
Sisi kama klabu ya Yanga tulikaa kikao cha kamati ya utendaji na kuona taratibu za kupewa haki ya matangazo kwa kampuni ya Azam haikua sawa, sisi viongozi wa kalbu ya Yanga hatukushirikishwa katika mchakato huo hivyo tukaona ni vema tuje kwa vyombo vya habari tuulezee umma juu ya maazimio ya kamati ya utendaji.
Ifuatayo ni taarifa kamili kwa vyombo vya habari: 
YAH: URUSHWAJI KATIKA TELEVISHENI MICHEZO YA YANGA.

Hivi karibuni, Tanzania Football Federation (TFF)  iliunda Tanzania Premier League chini ya Bodi ya mpito Bodi ya TPL ambayo ni msimamizi mpaka hapo Bodi itakayokuwa imechaguliwa kidemokrasia. Bodi hii imeamua peke yake kuingia katika mkataba wa miaka 3 (mitatu) na kampuni inayoitwa Azam Television (ambayo ina  mapromota wale wale wanaomiliki Azam Football Club). Makubaliano ambayo Bodi ya TPL inatarajia kuingia na Azam Television, Kamati ya Utendaji ya YANGA inalipinga kwa nguvu zote katika misingi ifuatayo:

1. BODI YA TPL

1.1 Bodi iliyoko sasa hivi ni ya mpito ambayo ilitakiwa kutenguliwa na Bodi iliyochaguliwa kidemokrasia kwa kupitia uchaguzi wa tarehe  ……….. mwaka huu na haitakiwi kuingia katika mikataba a miaka mingi wakati inakaribia kuondoka katika ofisi.

1.2 Bodi ya TPL iliyoko sasa hivi haikuchaguliwa kidemokrasia.

1.3 Bodi ya TPL iliyoko sasa hivi haina mjumbe hata mmoja aliyeteuliwa kutoka YANGA.

2. UTARATIBU WA DUNIA NZIMA

2.1 Haijawahi kutokea katika ligi ya mpira wa miguu ya kisasa kulazimishwa kwa Klabu inayoshindana katika ligi kuachia haki zake za urushwaji wa michezo zichukuliwe na chombo cha habari cha Klabu ya upinzani. 

2.2 Mfumo (undertaking) ambao TPL inataka kuanzisha kwa njia ya kulazimisha mkataba kwa YANGA iachie  urushwaji wa michezo yake ya soka yarushwe na Azam TV unatishia sana uwepo wa msingi wa ushindani katika soka ya Tanzania.

2.3 Makubalianokati ya TPL na Azam Television kuhusu utaratibu wa malipo yanasemakwamba Klabu ya YANGA na Klabu zingine zitakazoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania  watapata mgao sawa wa mapato ya urushwaji wa michezo hii, ambayo YANGA inapinga kwa sababu kama inavyofanyika duniani kote kwenye ligi zilizofanikiwa (angalau) kutofautisha mgawanyo wa mapato kati ya timu kufuatana na matokeo ya mwisho wa ligi.

2.4 Kamati ya Utendaji ya YANGA siyo tu haikubaliani na mgawanyo sawa wa mapato ambao hautofautishi kati ya timu ya kwanza katika ligi na timu ya mwisho katika ligi, lakini pia ukosefu wa viwango (premiums) vitakavyolipwa: 

2.4.1 Vilabu vya mpira vyenye ufuasi wa washabiki wengi; 

2.4.2 Vilabu vya mpira vinavyoendeshwa na Wanachama; 

2.4.3 Vilabu vya mpira visivyopata ruzuku kutoka Serikalini n.k.

3. MIGOGORO YA MASLAHI

3.1 Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mpito ya TPL ni Mkurugenzi mwandamizi wa Makampuni ya Azam na  kwa hivyo mazungumzo ya siri kati ya Bodi ya TPL na Azam ni ya kutiliwa mashaka.

3.2 Makampuni ya Azam yana yanashindana kibiashara na makapuni mengi yakiwemo ya utengenezaji wa vinywaji baridi na imeonyesha huko awali inaweka “matakwa maalum” muhimu zaidi kuliko mprira  wa miguu, kama vile Azam F.C. hawashiriki katika Kombe la Tusker na kwa hiyo YANGA inakuwa na msimamo kwamba kwa Azam Television kupewa leseni ya kurusha matangazo ya mpira wa miguu inatishia biashara za washiriki wa sasa na wa baadaye wa YANGA.

3.3 Azam na YANGA wana uadui wa kimichezo. Kumbuka, wakati MRISHO NGASSA alipotaka kwenda YANGA, Azam F.C. walimkopesha kwa nguvu kwa Klabu ya Simba! Kwa hiyo YANGA itahatarika kwa matangazo yenye upendeleo kama Azam Television itarusha hewani michezo yake n.k.

4. KUTOKUWA NA UWAZI

4.1 Mkataba wa utangazaji wa miaka mingi unaotaka kuingiwa kati ya TPL na ambao badohaujarushwa Television ya Azam haukushindanishwa na vyombo vingi vya habari,  na vyombo ambayo wako tayari kwenye soka havikujulishwa kuhusu fursa hii au walizuiliwa kufikisha mapendekezo yao ya maombi ya haki za kurusha matangazo katika Ligi Kuu (Tanzania Premier League).

4.2 Ukosefu wa uwazi wa TPL unanonyesha kuwa MoU iliyokusudiwa kuwekewa saini na TPL haikufikishwa YANGA kwa ajili ya mapitio ya kisheria, licha ya YANGA kufanya ombi hilo kwaTPL.

5. MAZINGATIO YA KIBIASHARA 

5.1 Mamlaka ya kuamua mzozo wowote wa mkataba wa leseni ya utangazaji wa Ligi Kuu (Tanzania Premier Leagu) itakuwa ni Mahakama ya kisheria na siyo FIFA. TPL inasingizia  kwamba leseni ya matangazo ambayo inakusudia kufanya kuwa ni maagizo ya FIFA na kwa hiyo YANGA inapaswa kuukubali "lock, stock and barrel."

5.2 TPL inaelezea kimakosa makubaliano ya leseni ya urushaji  wa mchezo ya mpira inayotarajia kuingia na Television ya Azam kama "makubaliano ya udhamini" (“sponsorship agreement”) ambayo siyo sahihi, kwa sababu urushaji wa michezo ya mpira wa miguu ni biashara inayotokana na maslahi ya uhusiano na hivyo 
wahusika wote ni lazima wazingatie maslahi yao ya kifedha.

Kwa mfano, moja ya vyanzo muhimu vya mapato ya YANGA ni mapato ya kiingilio ya mlangoni yatokanayo na michezo ya mpira wa miguu ambayo urushwaji wa michezo hii itapunguza mapato haya. Kwa wastani michezo ya YANGA  Dar es Salaam huingiza makusanyo ya mlangoni shilingi milioni 50 kwa kila mchezo na hata kushuka kidogo kwa 25% katika mahudhurio ya mechi za YANGA zinafikia mara mbili ya mapendekezo ya mapato takribani Sh milioni 8.3 kwa mwezi kupokelewa na YANGA kutoka mradi wa kibiashara kati ya TPL na Azam Television. Kwa kuzingatia haya, kwamba hata siku za nyuma kama kulikutokea fursa ya kurusha mchuano wa mpira unapochezwa, wadau wote (Timu za mpira wa miguu, TFF na Mtangazaji)  walikuwa wanaafikiana kwanza kwa pamoja kuhusu mapato na mgawanyo wake.

Kamati ya Utendaji ya YANGA ina maoni kwamba makubaliano yoyote ya kibiashara yanayoihusu ni lazima iyalinde maslahi kifendha ya Klabu yake ambapo makubaliano ya TPL / Azam Television hayaangalii na kwa hiyo, Kamati ya Utendaji ya YANGA haitaki mchezo wake urushwe hewani na Azam Television.

Msisitizo wa TPL kuwa lazima Azam Television irushe hewani michezo ya YANGA linasikitisha. Kamati ya Utendaji ya YANGA haina tatizo na Vilabu vingine vya mpira wa miguu zikiruhusu michezo yao kurushwa na Azam Television ila haifurahii kuwa TPL inalazimisha YANGA kuonyesha mchezo wake wa Vodacom Premier League katika Azam Television.
......................
(YUSUF MANJI)
MWENYEKITI
YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB
29 JULAI, 2013

Ushindi wa kwanza Hamilton kwa Mercedes.

 

Dereva wa magari ya Timu ya Mecedes Lewis Hamilton ameweza kuishindia timu yake ushindi wake binafsi wa kwanza kwa Mercedes kwa kuongoza tangu mwanzo na kuwazidia madereva wenzake kwenye mashindano ya Hungary ya mbio za magari ya Langalanga au Formula 1.

Hamilton alijituliza na kutumia kasi akiwashinda dereva Kimi Raikkonen wa Timu ya magari ya Lotus aliyemaliza wa pili na Sebastien Vettel wa Red Bull aliyemaliza wa tatu.

Mark Webber wa Red Bull alionyesha umahiri wake kwa kujikwamua kutoka nafasi ya kumi alikoanzia mashindano hadi kumpiku dereva moto moto wa Timu ya magari ya Ferrari, Fernando Alonso.

Kutokana na hali hio Raikkonen sasa anapanda kwa pointi moja mbele ya Alonso akishika nafasi ya pili kwa jumla ya pointi alizokusanya tangu kuanza kwa mashindano ya msimu huu wa 2013/2014 ingawa bado yuko nyuma ya kiongozi wa mashindano na mtetezi wa taji Sebastien Vettel kwa pointi 38.

Kwa kipindi kirefu cha mashindano haya Fernando Alonso alikua katika jitihada za kuzuia asipitwe na Romain Grosjean wa timu ya Mercedes, na katika pilikapilika Romain Grosjean, alijitia matatani na kuadhibiwa kwa kupita gari akizunguka nje ya uwanja.

Wakati huo alimpita Felipe Massa wa Ferrari kwenye mzunguko wa 29 kituo cha nne, ambapo tairi zote nne zilivuka msitari mweupe unaobainisha uwanja na papo hapo kupewa adhabu ya kuuzunguka uwanja.

Hapo jana baada ya Hamilton kushinda nafasi ya mbele ya kuongoza mbio za leo alisema kua utakua muujiza endapo atashinda ikizingatiwa hali ya joto kali nchini Hungary bila kusahau matatizo yaloikumba timu ya magari ya Mercedes kwa matairi kupasuka kila mara.

Lakini alidhibiti mashindano kwa mda wote akipoteza uongozi kwa Grosjean na baadaye Mark Webber aliposimama kubadili tairi na mafuta lakini aliweza kurudi kileleni pale Webber aliposimama kubadili tairi na mafuta.

Sunday, 28 July 2013

We will get new players in, vows Moyes

 

Manchester United manager David Moyes said Sunday he was confident of getting new players in before the end of the transfer window and was mulling a third bid for Cesc Fabregas.

Barcelona have turned down two bids -- the latest reportedly of more than £30 million ($38 million) -- from United for the Spanish midfielder, 26, and new Barca boss Gerardo Martino on Friday insisted he was not for sale.

"I couldn't tell you at the moment and can't tell you if there will be another bid. Obviously we will take stock of it and consider what we are going to do next," Moyes said in Hong Kong, ahead of his side's friendly on Monday against local side Kitchee.

"What we've got here is a really good squad of players already, so you mustn't forget about the quality that is already here at Manchester United.

"Undoubtedly we are hoping to add to it (the squad) and I am confident we will do, certainly before the (transfer) window shuts.

On the so-far failed Fabregas bid he added: "I never at any time said I knew we would get (Fabregas), just that we had made offers that had been rejected. We'll take stock of the situation and see where we go from there."

The United boss, who has only been in the Old Trafford hot seat for four weeks, was tight-lipped about the future of striker Wayne Rooney, who has asked to leave the club and is currently injured.

Rooney is on schedule to return for a friendly in Stockholm on August 6, said Moyes, who was at pains to stress he was happy with the squad he inherited from Alex Ferguson.

"That's the squad that finished 15 points clear at the top of the Premier League. I'm confident with that squad, from what I've seen. They've got a great squad of players," he said.

United cancelled an open training session at the 40,000 -seat Hong Kong Stadium that had been scheduled for Sunday because of the poor state of the pitch, where Spurs defender Jan Vertonghen was hurt on Wednesday.

Moyes played down fears one of his players might also fall victim to the surface, following several days of heavy rain in Hong Kong.

"We are used to playing on good surfaces and good pitches, but it was the weather that didn't help. There was nothing the people here in Hong Kong could do to make it any better," he told a packed press conference.

"The weather was terrible for three or four days as far as I know. It's drying out now, which might in a way make it worse if it became bobbly.

"But we will play. The players have been brought up on all sorts of pitches, though I do take the point that these days the quality of the surfaces tend to be very good."

He expects to pick a strong side for Monday's game, which comes after matches in Thailand, Australia and Japan.

United have lost twice, drawn once and won only once so far on tour, but England defender Phil Jones was unconcerned and said Moyes had been stamping his mark on the squad.

"We have been together four or five weeks now and we've had some really good training sessions and he's implemented what he wants to do in training and games," said Jones.

"You can see things coming off in games and come the start of the season I'm sure we'll be ready to go and firing again."

SOURCE:AFP

Saturday, 27 July 2013

Mkiambiaji Kenya azirahi uwanjani

 

Mwanariadha wa Kenya wa mbio za masafa marefu Irine Chebet Cheptai amekimbizwa hospitalini baada ya kuzirai katika mbio za uwanja wa Olimpiki.

Cheptai ambaye alikuwa kuwa mmoja wa wanariadha walioshiriki katika mbio za mita elfu tatu alizirai muda mfupi baada ya kumaliza mbio hizo ambapo alimaliza katika nafasi ya kumi na moja na kuweka muda wake kasi zaidi katika mbio hizo wa dakika nane na sekunde ishirini.
Madaktari waliokuwa uwanjani walimtibu mwanariadha huyo aliyekuwa amepoteza fahamu kabla ya kumkimbiza hospitalini kwa machela.
Ripoti zinasema Cheptai hatimaye alipata fahamu akipokea matibabu hospitalini.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka ishirini na moja hushiriki katika mbio za mita elfu tano na mwaka huu tayari ameshiriki katika mashindano mawili ya dunia ya IAAF Diamond League.
Mwezi Mei mwaka huu mjini Shanghai, Cheptai aliandikisha muda wa dakika kumi na nne sekunde hamsini nukta tisa tisa, muda ambao ndio bora zaidi aliouandikisha katika mbio hizo.
SOURCE:BBC

Thursday, 25 July 2013

Fabregas bid 'ongoing' - Moyes

 

Manchester United boss David Moyes said Thursday the English champions' attempts to sign Barcelona midfielder Cesc Fabregas remained alive after reports said two earlier bids had failed.

Moyes, who was appointed as Alex Ferguson's successor at the end of last season, tabled an initial offer of 25 million pounds ($38 million, 29 million euros), later upping the ante to 30 million pounds, British reports said.

Asked about any progress in United's talks with Barcelona on Spanish international midfielder Fabregas, Moyes simply said: "Ongoing".

Moyes is keen to sign the creative midfielder but reports from Spain suggest Barca will not make a decision on Fabregas until they appoint a successor to cancer-stricken coach Tito Vilanova,

Moyes also said Robin van Persie, who pulled out of United's last match on their Asian tour with a thigh-injury, was expected to play against Cerezo Osaka on Friday despite being absent from training.

Injured striker Wayne Rooney is on the mend, he added.

"Wayne is running, probably at the level where we thought he would be just now and he'll pick up his work again," he said.

Disaffected Rooney's withdrawal from the Red Devils' pre-season Asian tour with a minor hamstring injury has heightened speculation that a move away from Manchester United is imminent.

Rooney has been linked to rival club Chelsea, but United have made it clear they are not interested in selling him -- going so far as to post an eye-catching billboard on their Twitter account that announced his return for a friendly against Swedish side AIK Fotball on August 6.

United's second friendly in Japan comes on the heels of their 3-2 loss to Yokohama Marinos on Tuesday.

It was the Red Devils' second loss in three matches so far in their Asian tour which will wind up with a game in Hong Kong next Monday.

United's Japanese star Shinji Kagawa meanwhile looked forward to a return to the club where he began his career.

"Tomorrow, I will play against the side which helped me grow up and sent me to the world," the 24-year-old said. "I will give all I have as I know their supporters and coach are excited about it."

"I want to work hard and produce results in an effort to impress," said Kagawa, who had a disappointing first season with United scoring just six goals in 20 league matches.

source:AFP


Influential midfielder Yaya Toure on Thursday backed new manager Manuel Pellegrini to bring silverware to Manchester City, describing him as "unbelievable".

The former Malaga coach got his first victory as City boss in a 1-0 win over South China in Hong Kong on Wednesday, having only arrived in the region a day earlier after the death of his mother.

Toure said he hopes the Chilean, who replaced the sacked Roberto Mancini, can bring trophies to the Etihad after rivals Manchester United romped to the Premier League title last season.

"Last year, we have to be honest, United were much better than us," said the former Barcelona man, 30.

"We are working and trying to understand and learn from the new manager, who had a fantastic record in the past in Spain."

He added of Pellegrini: "Unbelievable, great things, his ability to manage is unbelievable and he's doing fantastically well. We are all focused on him and trying to understand what he wants us to deliver and what he wants us to do on the pitch.

"He's an unbelievable guy, a very good guy, and dedicated to his work, and you can see his commitment. He's a very good choice for Man City and I hope he's going to bring a lot of trophies to Man City.

"When you change mangers, sometimes it is quite hard because you need to adapt to the new formation. But with the new signings I think it is going to be very exciting."

City have been the biggest spenders over the summer as they attempt to wrestle the Premier League crown back from Old Trafford, shelving out 83 million pounds ($126 million, 96 million euros) on new players.

They have brought in strikers Alvaro Negredo from Sevilla and Stevan Jovetic from Fiorentina, as well as Spanish midfielder Jesus Navas and Brazil midfielder Fernandinho from Shakhtar Donetsk.

"They are amazing, amazing. I already know them because some of them have come from Spain... They are great players and we welcome them to Man City.

"I hope the fans will enjoy them and they will help the club lift a couple of trophies this year."

SOURCE: AFP

Wednesday, 24 July 2013

Wacheza soka Nigeria wapigwa marufuku




Wachezaji na maafisa wa vilabu waliohusishwa na kupanga mechi ambazo hatimaye zilimalizika kwa mabao 79-0 na 67-0 wamepigwa marufuku maisha

Kilabu cha Plateau United Feeders walishinda mchuano wako kwa mabao 79-0 dhidi ya kilabu cha Akurba FC wakati kilabu cha Police Machine FC kilipoibwaga Bubayaro FC kwa mabao 67-0.

Vilabu hivyo vimepigwa marufuku kushiriki michauno yoyote kwa miaka 10.

Kamati moja ya Shirikisho la soka la Nigeria ilipendekeza kuwa maafisa wa soka waliohusika katika upangaji huo wa michuano miwili kupigwa marufuku maisha.

Plateau United Feeders na Police Machine waliingia kwenye mechi yao wakiwa na pointi sawa huku wakiwa katika hatari ya kuvuka na kuingia daraja ya chini ya ligi ya kitaifa ikiwa wangepoteza mechi .

Feeders ilishinda kwa mabao 72 katika kipindi cha pili cha mechi, wakati Police Machinen nao wakipata mabao 61 baada ya kipindi cha mapumziko.

Matokeo hayo yalimaanisha kuwa Plateau ilipanda daraja juu ya Police Machine kwa toafuti ya mabao.

Shirikisho la soka Nigeria limesema kuwa limekubali mapendekezo hayo na kuwa litawasiliana na vilabu husika, pamoja na FIFA.

Shirikisho hilo lilisema litachapisha majina ya wachezaji , picha zao na maelezo kuwahusu.

CHANZO:BBC SPORT

 

Tuesday, 23 July 2013

Moyes's United humbled in Japan

YOKOHAMA, Japan (AFP) Manchester United stumbled to a 3-2 defeat against Japan's Yokohama Marinos Tuesday in their second loss in three games under new manager David Moyes.
The English champions fell behind in the very first minute but they recovered to lead 2-1 heading into the second half thanks to Jesse Lindgard's strike and a Yokohama own goal.
However, Fabio Aguiar headed the scores level before Yoshihito Fujita's winner three minutes from time removed further gloss from United's pre-season Asian tour.
So far under Moyes, United have lost 1-0 in Bangkok and won 5-1 in Melbourne, and they got off to a horror start in hot and humid conditions in Yokohama.
The game was just one minute old when Brazilian striker Marquinhos latched on to a poor clearance from United custodian David de Gea to fire the hosts in front from inside the box.
The setback stung the Premier League champions and talented Belgian teen Adnan Januzaj nearly put them level with a crisp strike which was just off-target.
Januzaj, 18, then got back to head a chance off the line but it was new signing Wilfried Zaha who orchestrated United's opener when he drifted past his man into the box.
The ex-Crystal Palace man's low cross caused mayhem and it was Lindgard on hand to net his third goal in two games, after Saturday's brace against the A-League All-Stars.
Yokohama handed United the lead when Januzaj, United's reserve team player of last season, fired a free-kick which came off the unfortunate Masakazu Tashiro and over the line.
But the hosts were back on terms after the break when de Gea failed to deal with a corner and Brazilian defender Fabio Aguiar's header moved the score to 2-2.
Shinji Kagawa drew a huge cheer when he came on just after the hour-mark, and United's Japanese playmaker nearly raised the roof when he got clear -- but his shot failed to beat the 'keeper.
Ashley Young hit one into the side-netting but it was Yokohama who had the final word when Fujita swept home the winning goal in the 87th minute.
Moyes, facing the stiff challenge of following Alex Ferguson's 27-year, trophy-laden reign, now leads his team west for a game against Japan's Cerezo Osaka on Friday.
SOURCE:AFP

Saturday, 20 July 2013

Zambia vs Zimbabwe fainali Cosafa leo


                                Timu ya taifa ya mpira ya zambia



   
             
                                     Timu ya taifa ya mpira ya Zimbambwe 

Fainali ya  kombe la mataifa la Shirikisho la soka la kusini mwa Afrika Cosafa inachezwa jumamosi hii, ikiwa ni kati ya  Zambia mwenyeji wa mashindano  na  Zimbabwe mchezo utakaofanyika. Zambia iliibwaga Afrika kusini katika pambano la nusu fainali Jumatano kwa mikwaju  ya penalty mabao 5-3, baada ya  kumaliza  muda wa kawaida na nyongeza zikiwa bila kwa bila. Zimbabwe  mabingwa watetezi wa kombe hilo nayo ikaiadhibu Lesotho mabao 2-1  katika nusu fainali nyengine. Pambano hili lla fainali kati ya Zambia na Zimbabwe katika uwanja wa  Levy Mwanawasa mjini Ndola, ni sawa na marudio ya ile ya  2009.