Msekwa  Amjibu  kauli ya Nape
Haiwezekeni
 mchezaji makini aliejindaa kwa mechi afunge bao kwa mkono. Goli kama 
hilo litafutwa na refa. Naomba wananchi wapuuzie maneno ya upuuzi kama 
hayo.
Kufunga goli 
la mkono ni faul na moja kwa moja litakataliwa na refa ambayo ni Tume ya
 Uchaguzi. Kauli mbaya kama hizo zinaweza kufanya Wananchi kukosa imani 
na Serikali na kuleta machafuko na ninaamini haya ninayoyasema ndio 
msimamo wa chama changu.
Pius Msekwa.2.07.2015 (ITV, kipindi cha Mzelendo).
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment