Thursday, 25 July 2013
pAPA AWATAKA WAKRISTO KUTOPENDA MALI NA MADARAKA
Mwandishi: Grace Patricia Kabogo/APE,DPAE
Islamic Banking - NBC yawatoa hofu wananchi kuhusu akaunti ya Kiislamu
Baadhi ya wateja wa Benki ya NBC, wakifuturu katika hafla ya futari
iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam,
mwishoni mwa wiki.
Dar es Salaam. Serikali imewatoa hofu Watanzania ikiwataka kutosita
kujiunga na kutumia huduma za kifedha zinazofuata kanuni za Kiislamu kwa
kuwa huduma hiyo ni mkombozi kwa wananchi wengi.
Akizungumza wakati wa hafla ya futari kwa wateja iliyoandaliwa na Benki
ya Taifa ya Biashara (NBC) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Naibu
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alisema bidhaa hiyo imeletwa katika
muda mwafaka.
Huduma hii hufuata sheria na kanuni za Kiislamu. Ni huduma inayojali na
kufuata maadili na ni furaha kwa Serikali kuona kwamba hatimaye maadili
sasa yanaingia hadi kwenye huduma za kifedha.
Maadili yakiwa imara katika jamii, tunatarajia pia kupata uchumi
imarawenye kukua na viwanda vyenye kuzalisha bidhaa na huduma zenye
kukidhi mahitaji ya wote, alisema.
Saada aliiomba NBC kuendelea kubuni na kuwaletea Watanzania huduma
nyingine zenye kukidhi mahitaji mbalimbali ya wateja, wakubwa kwa
wadogo, hususan mikopo kupitia Huduma ya Kibenki ya Kiislamu.
Aliitaka pia benki hiyo kutoa elimu kwa Watanzania ili waweze kufahamu
kwa undani faida ya huduma hiyo ambayo iko wazi kwa yeyote bila kujali
itikadi au imani yake ya kidini.
Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Mizinga
Melu alimuahidi Naibu Waziri kwamba benki hiyo haitaacha mipango yake ya
kuisaidia Serikali kutekeleza kauli mbiu yake ya maisha bora kwa kila
Mtanzania .
Naye Mkuu wa Kitengo cha Huduma ya Kibenki ya Kiislamu, Yassir Masoud
alisema kuwa muda si mrefu NBC itaanzisha huduma za mikopo kupitia
bidhaa hiyo, akisisitiza kwamba wanaelewa kuwa watu wengi wanaisubiri
kwa hamu kubwa.
Huduma ya Islamic Banking ya Benkiya NBC ilizinduliwa Mei 2010
source:MCL
Kim Kardashian, Kanye West Spent Sh 63.7M on Gold Toilet
Kim Kardashian and Kanye West Photo:Courtesy
When it comes to money, Kim Kardashian and Kanye West definitely have a lot of it. That is why it may not be such a big deal for them to drop more than $750,000 on, say, something like gold toilets.
British tabloid The Sun claims Kardashian and West spent around $767,000 on four gold-plated toilets for their swanky new Bel Air, Calif., mansion.
They also reportedly dropped $444,000 on six special beds and nearly $325,000 on kitchen appliances, plus a Swarovski crystal-encrusted fridge freezer.
This isn't the first time the reality star has been linked to an over-the-top commode. Last year, another tabloid report claimed Kardashian spent $100,000 on a self-flushing toilet. She purportedly made the purchase because she was scared of guests forgetting to flush on their own.
Even though they might have a combined net worth of around $140 million, we aren't so sure Kardashian and West would choose to spend their hard-earned cash on luxury latrines.
What we do know for certain is that Kardashian is very particular about her bathrooms and what goes on in them.
While staying with mom Kris Jenner, the 32-year-old has criticized the black shower and black toilet paper in Jenner's house. Back when she was married to Kris Humphries, she complained about the NBA star's bathroom habits, including how he spritzed the mirror while brushing his teeth.
-Huffington PostInfluential midfielder Yaya Toure on Thursday backed new manager Manuel Pellegrini to bring silverware to Manchester City, describing him as "unbelievable".
The former Malaga coach got his first victory as City boss in a 1-0 win over South China in Hong Kong on Wednesday, having only arrived in the region a day earlier after the death of his mother.
Toure said he hopes the Chilean, who replaced the sacked Roberto Mancini, can bring trophies to the Etihad after rivals Manchester United romped to the Premier League title last season.
"Last year, we have to be honest, United were much better than us," said the former Barcelona man, 30.
"We are working and trying to understand and learn from the new manager, who had a fantastic record in the past in Spain."
He added of Pellegrini: "Unbelievable, great things, his ability to manage is unbelievable and he's doing fantastically well. We are all focused on him and trying to understand what he wants us to deliver and what he wants us to do on the pitch.
"He's an unbelievable guy, a very good guy, and dedicated to his work, and you can see his commitment. He's a very good choice for Man City and I hope he's going to bring a lot of trophies to Man City.
"When you change mangers, sometimes it is quite hard because you need to adapt to the new formation. But with the new signings I think it is going to be very exciting."
City have been the biggest spenders over the summer as they attempt to wrestle the Premier League crown back from Old Trafford, shelving out 83 million pounds ($126 million, 96 million euros) on new players.
They have brought in strikers Alvaro Negredo from Sevilla and Stevan Jovetic from Fiorentina, as well as Spanish midfielder Jesus Navas and Brazil midfielder Fernandinho from Shakhtar Donetsk.
"They are amazing, amazing. I already know them because some of them have come from Spain... They are great players and we welcome them to Man City.
"I hope the fans will enjoy them and they will help the club lift a couple of trophies this year."
SOURCE: AFP
ERO LINK RECRUITMENT AGENCY SCANDAL
The government has formed a team to investigate complaints of workers
against recruitment agencies they accuse of engaging in exploitative
arrangements, to determine if they are observing the Labor Relations Act
of 2004.
Speaking of initiatives taken by the government to address problems facing workers recruited by private agencies, Deputy Minister for Labor and Employment Dr Makongoro Mahanga told The Guardian in a telephone interview that among other things the government will consider the essence of having such agencies in the first place.
He said his ministry will also liaise with the Tanzania Revenue Authority (TRA) to find out the mode through which they pay their taxes.
The minister said the issue of workers in a particular company working under different recruiting agencies’ payrolls has prompted misunderstandings between employees and the employers.
The Guardian recently came across letter complaining against the arrangement, saying workers are being cheated by some recruiting agencies.
When interviewed some of the employees who blame the recruiting agencies for taking advantage of the employment crisis to offer their clients workers recruited at much lower salaries compared to the actual amount paid by these companies.
Some employees recruited by the Erolink recruiting agency, claimed that the agency is full of nepotism and tend to favour the experienced personnel.
They alleged that Erolink has entered a contract of recruiting workers for some giant corporate companies and that it signs renewable three to six-month contracts with the recruited workers, apparently to avoid employing them on full term basis.
“Within the three-month contracts, salaries are indirectly paid to workers through Erolink management which determines the amount of salary to be paid to the workers,” read part of the letter.
The letter claimed that such arrangements deny workers basic rights such as health insurance, job security, being eligible to access loans and extra hours’ payments which are exclusive to their counterparts who are directly employed by the companies.
Reacting to the claims, Erolink Tanzania General Manager Natasha Ng’wanakilala and two advocates Evold Mushi and Godfrey Tesha refuted the claims saying the agency has been working according to the Labour Relations Act 2004 and that all workers were treated equally, stressing that her agency is ready for any assessment by the government.
When queried on the actual payments the agency gets from the companies for every worker they recruit, she said the payments are confidential under the contract agreement between the two parties, but that the documents will be disclosed if required by the ministry of Labour or any legal organ.
On claims of variation in payments between workers recruited by the agency and those directly employed by their clients despite being of the same rank and having similar qualifications, she said the arrangement is due to policies of the respective companies.
Tanzania Employment Service Agency (TaESA) Chief Executive Eliezer Mwasele told this paper in a telephone interview that the outsourcing agencies are supposed to work according to the country’s Labour laws and directives of the International Labor Organization (ILO).
For his part, TaESA Acting Chief Executive Officer Boniface Chandaruba said his office was aware of the matter, noting that he could not comment anything as there was a team which had already formed by his boss to investigate the matter.
SOURCE: THE GUARDIAN
Mgoni akatwa miguu yote miwili baada ya kunaswa akila uroda na mke wa mtu
ALI Omar, mkazi wa Kijiji cha Mabana, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumkata miguu Said Iddi kwa kumtuhumu kumfumania na mkewe aliyejulikana kwa jina la mama Ali, mkanda mzima upo mikononi mwa Amani.
Tukio hilo la kikatili lilijiri Julai 15, mwaka huu wakati Said na mama Ali walipokuwa ndani ya nyumba ya Ali iliyopo kijijini hapo.
MANENO YA SHUHUDA
Akizungumza na mwandishi wetu, shuhuda mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja alisema Said alifumaniwa ndani ya nyumba asubuhi akiwa na mke wa Ali baada ya kuwekewa mtego ambao ulimnasa vizuri.
“Ali alipewa habari na kijana mmoja aitwaye God kwamba mkewe si mwaminifu katika ndoa, akamwongezea kuwa anatoka kimapenzi na Said. Ndipo Ali na mnyetishaji wake huyo walipopanga kumfumania jamaa,” alisema shuhuda.
Aliongeza kudai kuwa, Said ni msimamizi wa mashamba ya Ali kijijini hapo na kwamba God ni mtoto wa mwenye nyumba ambayo Ali amepanga kijijini hapo.
MPANGO WA FUMANIZI
Habari zinapasha kuwa mara baada ya mnyetishaji kutoa taarifa za usaliti huo, Ali alimtafuta ‘baunsa’ ambaye jina lake halikuweza kujulikana mara moja na wakaweka mtego kwa kujificha karibu na nyumba hiyo ambayo Said angeingia ili kuivunja amri ya sita ya Mungu.
SAID ATINGA NYUMBANI KWA ALI
Habari zinasema mtoboa siri huyo alimwambia Said kuwa Ali amesafiri na ndipo jamaa akafunga safari kwenda kwa mama Ali kwa nia ya kujivinjari licha ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukifikia katikati.
Habari zinadai mara baada ya kufika kwa Ali, Said aliingia ndani ya nyumba bila kujua kwamba mwenye mke alikuwa amejificha jirani akisubiri mtego unase.
Inasemekana Said akiwa ndani, Ali na baunsa wake waliibuka kwa kutaarifiwa na God na kumnasa jamaa huyo huku akidai ni mgoni wake. Alimuuliza maswali kadhaa, yakiwemo haya:“Umekuja kufanya nini ndani ya nyumba yangu? Kwa nini umekaa na mke wangu?”
Habari zinasema Said alijibu hakuona ubaya kwa kuwa yeye ni mwangalizi wa mashamba ya mwanaume huyo hivyo anaweza kuingia ndani kwake wakati wowote.
MWENYE MKE ATIBUKA NA MAJIBU, AMWAGA DAMU
Jibu hilo lilidaiwa kumtibua Ali na ndipo yeye na baunsa wake wapomfunga kamba miguuni Said na kuanza kumkata kwa panga mguu mmoja kisha kuugeukia wa pili.
Said alipiga mayowe yaliyowafanya wanakijiji kukimbilia eneo la tukio kwa lengo la kujua kulikoni ambapo walimkuta Said akiwa anavuja damu na sehemu ya nyuma ya miguu ikiwa nyanga’nyang’a.
MWENYE MKE AKIMBIA, ANASWA
Ali, God na baunsa walikimbia eneo hilo. Baadhi ya wanawake walitumia khanga zao kuifunga miguu ya Said kwa lengo la kujaribu kuzuia damu isiendelee kumwagika. Said alikuwa akilia sana.
“Wanakijiji walichukizwa sana na ukatili uliofanywa na Ali, hivyo wakaanza kumsaka na kumkamata kichakani akiwa amejificha pamoja na God. Alipewa mkong’oto kwa lengo la kutaka kumuua, lakini viongozi wa kijiji walisihi asiuawe bali afikishwe kwenye kituo cha polisi,” alisema shuhuda.
MKE, MUME, MMBEYA WAFIKISHWA POLISI
Polisi wa Kituo cha Dumila waliitwa na kumchukua Said, Ali na God kwa kutumia gari aina ya Land Rover lenye namba za usajili T 750 AAJ. Mke wa Ali yeye alipelekwa polisi kwa pikipiki.
Walipofika kituoni, Said alipewa fomu ya matibabu ya polisi (PF 3) na kupelekwa Hospitali ya Wilaya ya Kilosa kwa matibabu.
“Pale hospitali Said alishonwa miguu yote lakini madaktari wakaamua ahamishiwe katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa matibabu zaidi,” alisema shuhuda huyo.
ANAWEZA ASITEMBEE TENA
Akaongeza: Daktari mmoja alisema haamini kama jamaa (Said) atatembea tena kwa sababu zana iliyotumika kumkata ilifika hadi kwenye mishipa ya nyuma ambayo ndiyo humfanya binadamu aweze kusimama na kutembea.
BAUNSA ASAKWA
Afisa mmoja wa polisi kituoni hapo ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini kwa kuwa si msemaji, alisema wanaendelea kumsaka baunsa aliyeshirikiana na Ali kumkata miguu Said.
SOURCE: GLP
Wednesday, 24 July 2013
SHILOLE MATATANI WIZI SIMU ZA DIAMOND
Stori:Shakoor Jongo na Musa Mateja
STAA
wa filamu na muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameingia
matatani akidaiwa kuingia mitini na simu tatu za mkononi alizoaminiwa
nchini Afrika ya Kusini alikokwenda kufanya shoo.
Msanii huyo
alikumbwa na kasheshe hilo Julai 19, 2013 nyumbani kwa mwanamuziki wa
Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sinza Mori, Dar.
Siku hiyo
Diamond alikuwa akifuturisha na aliwaalika watu mbalimbali wakiwemo
mastaa lakini nusura futuru iingie doa kufuatia zogo hilo.
ISHU ILIKUWAJE?
Ndugu
wa Diamond aitwaye Majaliwa Majuto ‘Q Boy’ alidai ndiye mwenye simu
hizo. Alisema miezi kadhaa iliyopita, Shilole alikwenda nchini humo
kufanya shoo ya muziki. Wakati wa kuondoka alimpa simu tatu, Ipad,
Samsung Galaxy na Blackberry ili akifika Bongo ampe Diamond lakini
msanii huyo hakufanya hivyo.
“Alikuja Sauzi kufanya shoo, wakati
wa kuondoka nilimpa simu tatu amletee Diamond lakini nashangaa hakufanya
hivyo na mimi tangu nirudi Bongo simpati, kila nikimpigia simu hapokei,
leo ndiyo tumekutana hapa kwa Diamond,” alilalama Q Boy.
DIAMOND ALIAMBIWA SIMU ANAZO SHILOLE
Alisema
awali akiwa nchini humo baada ya kumkabidhi mali hizo, alimpigia simu
Diamond na kumtaarifu kuwa ‘mzigo’ anao Shilole, akashangaa staa huyo
kujibu kwamba hajazipata wala hajamwona Shilole.
SHILOLE AJITETEA
Katikati
ya mzozo huo, Shilole alijitetea kwa kusema: Mi namdai rafiki yake
fedha yangu ya shoo iliyobaki, kama shilingi laki nane hivi ndiyo maana
nikaamua kuzizuia simu za huyu (Q Boy) hadi nimaliziwe pesa yangu.
Hata
hivyo, katika sakata hilo ilielezwa kuwa Shilole na Q Boy hawakuwa na
makubaliano yoyote kuhusu shoo hiyo na simu hizo hivyo madai ya
mwigizaji huyo ni ‘usanii’ tu.
MAMA DIAMOND AINGILIA KATI KUOKOA
Zogo
hilo lilipopamba moto na kuashiria kuvurugika kwa amani, mama mzazi wa
Diamond, Sanura Kasim ‘Sandra’ aliamua kuingilia kati na kuagiza suala
la kudaiana simu lifanyike kesho yake (Jumamosi) kwa vile siku hiyo
haikuwa muafaka.
“Jamani! Jamani! We nani, Shilole na we Majaliwa,
naomba kwa leo muepusheni shetani kwani hapa si mahali pake, ila kesho
tutaitana na kumaliza suala hili, mimi mwenyewe nitalisimamia,” alisema
bi mkubwa huyo na kumaliza henyahenya iliyoibuka.
JUMAMOSI YAFIKA, KIKAO VIPI?
Jumamosi,
mapaparazi wetu walifuatilia ishu hiyo nyumbani kwa akina Diamond na
kuulizia ili kujua kama kikao cha usuluhishi kilifanyika kama mama
Nasibu alivyoagiza.
“Mh! Sijaona kikao chochote, kwanza Shilole
mwenyewe akipigiwa simu hapokei,” alisema ndugu mmoja wa Diamond huku
akiomba hifadhi ya jina lake.
MSIKIE DIAMOND
Juzi, Diamond alipopigiwa simu na kuulizwa kama anaijua ishu ya simu, alikubali.
Staa huyo alisema anashindwa kuingilia kati sakata hilo kwa sababu wahusika wote ni watu wake wa karibu kikazi.
“Yeah!
Ishu ni kweli ipo, lakini mimi nilijiweka kando mapema, nikamwambia
dogo (Q Boy) afuatilie mwenyewe baada ya kuona Shilole haeleweki.
“Unajua
Shilole ni mwanamuziki mwenzangu, dogo yupo ndani ya Kampuni ya Wasafi
Entertainment (ya Diamond), sasa kukomaa na ishu za simu tu nahisi
itanishushia hadhi, napiga shoo za hela nyingi halafu leo nakomaa kwa
hela ndogo, inakuwa siyo,” alisema Diamond.
SHILOLE TENA
Baada
ya kuzungumza na Diamond, Shilole alipigiwa simu na kuomba kufafanua
kwa undani ishu hiyo ambapo katika hali isiyotarajiwa, alimlalamikia
paparazi wetu akidai anapendelea katika sakata hilo.
“Nyiye mnamtetea
tu yule dogo, mimi sina tatizo, kama rafiki yake (aliyemuitia shoo
Afrika Kusini) akinilipa hela yangu nawapa simu zao,” alisema Shilole.
Msanii
huyo alikwenda mbele zaidi kwa kumwambia paparazi kuwa atatia timu
kwenye Ofisi za Global Publishers ili kuzungumzia suala hilo na
viongozi.
Baadaye Shilole alifika ofisini kwetu na kufafanua juu ya
sakata hilo ambapo alirudia kukiri kuzuia simu hizo akidai kwamba
anamdai Q Boy hivyo mpaka atakapomlipa ndiyo atampa simu zake.
Q BOY NAYE TENA
Kwa
upande wake, Q Boy alipozungumza na paparazi wetu siku hiyo alisema
amekusudia kwenda kufungua kesi kituoni ili apewe msaada zaidi wa
kisheria kwa vile simu hizo zinamuuma hasa ukizingatia kuwa yeye siye
aliyempeleka Shilole Afrika Kusini kufanya shoo.
“Mimi leo (Jumatatu)
nimebanwa sana, kuna sehemu nakwenda na Diamond, nadhani nitamaliza
jioni. Lakini kesho (Jumanne) nitaamkia polisi kufungua kesi nione
watanisaidiaje?” alisema Q Boy.
POLISI AGUSIA ISHU
Risasi
Mchanganyiko lilizungumza na askari mmoja kutoka Kituo cha Polisi cha
Oysterbay na kummegea mtiririko wote, kisha kumuuliza kama kuna kesi
ambapo alijibu:
“Japokuwa mimi si msemaji wa jeshi (la polisi),
lakini ishu kama hiyo shitaka lake lipo, ni wizi wa kuaminiwa. Unajua
wengi wanadhani kuibiwa lazima mtu uwe hujui, lakini mtu akifanya kama
hivyo alivyofanya huyo msanii nani sijui (Shilole), kama ni kweli, kosa
linakuwa wizi wa kuaminiwa endapo atafikishwa polisi.”
DIAMOND, Q BOY WALIFANYA MCHEZO?
Hata hivyo, baadhi ya watu walioshuhudia sakata hilo walikuwa na maswali kibao yaliyokosa majibu.
Swali
la kwanza: Shilole alikwenda kufuturu kwa mwaliko wa Diamond na alijua
staa huyo na Q Boy ni wamoja na simu alizopewa ilikuwa amletee msanii
huyo, kwa nini alikwenda huku akijua ana msala?
Swali la pili: Kama
Shilole alikwenda akijua Q Boy hayupo Bongo, je! Si kwamba ulikuwa
mpango wa wawili hao kumwita ili wampe kibano ateme simu zao?
Swali
la tatu: Je, ni kweli Shilole alizuia simu ili amaliziwe deni lake kwa
mtu aliyemuitia shoo Afrika Kusini au shetani alimwingia baada ya kutua
Bongo na kuamua kuzitumia hasa ikizingatiwa kuwa siku hizi mambo ya
Instagram ndiyo habari ya mjini?
CHANZO: GPL
Subscribe to:
Posts (Atom)
