Pengo: Nimesamehe
Askofu mkuu wa
 jimbo kuu la Dar es salaam, Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema 
amemsamehe mchungaji Gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema 
hayo wakati wa Misa Takatifu ya Jumapili ya matawi tarehe 29th March 
2015 katika kanisa kuu la ST Joseph Cathedral .
"Naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa 
nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote 
walioguswa sina kinyongo chochote"
Waumini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment