Monday 30 March 2015

Mkutano Mkuu wa ACT-Tanzania


Zitto Kabwe akihutubia na kuomba kura kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa ACT-Tanzania.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa ACT wazalendo wakisikiliza wagombea nafasi mbalimbali


Wajumbe wakishangilia kwa pamoja hotuba ya hotuba ya Prof. Kitila ndani mkutano Mkuu


Walio makini husikiliza kwa makini ili kufikia maamuzi makini.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Act wakifuatilia taarifa ya Chama Kwa umakini

No comments:

Post a Comment