Lowasa ameshauri kuwa watu wanaotaka kwenda nyumbani kwake kumuomba 
kwamba ajiandae kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Urais 
waache kwanza hadi pale Chama chake kitakapotoa taarifa za kuanza 
kufanya kampeni.
Tamko lake linakuja baada ya baadhi ya watu tangu mwishoni mwa wiki 
iliyopita kufika nyumbani kwake na kumtaka kuwa ajiandae kwa kutangaza 
nia ya kugombea na wao watamchangia fedha za kuchukulia fomu.
Chanzo: Chanel 10
 
No comments:
Post a Comment