Thursday 26 March 2015

EDWARD LOWASA WASHAURI WATU WASUBIRI MUDA WA CHAMA

Lowasa ameshauri kuwa watu wanaotaka kwenda nyumbani kwake kumuomba kwamba ajiandae kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Urais waache kwanza hadi pale Chama chake kitakapotoa taarifa za kuanza kufanya kampeni.
Tamko lake linakuja baada ya baadhi ya watu tangu mwishoni mwa wiki iliyopita kufika nyumbani kwake na kumtaka kuwa ajiandae kwa kutangaza nia ya kugombea na wao watamchangia fedha za kuchukulia fomu.

Chanzo: Chanel 10

No comments:

Post a Comment